Vazi la Mahusiano

Kitabu cha Waefeso kinatufundisha jinsi ya kutumia kanuni za Ukristo kwenye uwanja mgumu kuliko wote, nyumbani. Paulo anatuambia ni lazima kuuvua utu wa kale na kuvaa utu mpya na kutembea katika Roho, katika upendo, hasa katika nyumba. Katika sura ya tano, Paulo anatoa mpango wa Mungu kwa familia na kwamba baba na mume wanapaswa kupenda kama Kristo anavyolipenda Kanisa.

Somo la Sauti:

Back to: Nyaraka za Paulo: Wagalatia – 2 Timotheo

Toa Jibu