Kitabu cha Mithali ndicho kitabu chenye manufaa zaidi katika Biblia, ili ‘watu wa Mungu’ wajue jinsi ya kuishi. Mengi ya hekima ya Sulemani ilifunzwa kutokana na kushindwa kwake. Alitaka kuwafundisha vijana wasifanye kama yeye. Kusudi lake lilikuwa kwamba wenye hekima wawe viongozi wenye hekima, wenye akili nyepesi wawe na hekima, na watu wote wajue jinsi ya kuishi kwa haki.
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.