Tuna nguvu mbili zinazopingana ndani yetu: asili yetu ya dhambi na asili yetu mpya. Mtume Paulo anasema katika Wagalatia, Roho anaweza kuushinda mwili. Yote inategemea kile tunachopanda katika bustani ya maisha yetu. Tukipanda mbegu ya Mungu katika maisha yetu basi tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole na kiasi. Ni lazima tupande mbegu ili kumpendeza Roho ili tuvune uzima wa milele.
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.