Je, Kristo Amegawanywa?

Tatizo la kwanza ambalo Paulo alitaja lilikuwa ni tatizo la mgawanyiko; waumini waligawanyika juu ya viongozi waliowafuata. Ujumbe wa Paulo ulikuwa, tunapaswa kumfuata Kristo na si viongozi wa kibinadamu. Paulo alifundisha kwamba ni roho ya Mungu pekee inayoweza kumfundisha mtu mambo ya kiroho. Hatuwezi kujifunza kweli za kiroho kupitia macho, masikio, au mioyo yetu ya kibinadamu. Ni lazima tujifunze ukweli wa kiroho kupitia Roho Mtakatifu anayetupa uwezo wa kujua na kuelewa mawazo ya Mungu’.

Somo la Sauti:

Back to: 1 na 2 Wakorintho

Toa Jibu