Wasifu wa Kiongozi

Kitabu cha Nehemia kinatuonyesha kanuni saba za kiutendaji za uongozi ili kufanya kazi ya Mungu. Nehemia alionyesha nguvu kuu, kujitolea, kuelewa, kuzingatia, ujasiri, uvumilivu na kujitolea kabisa kufanya kazi ya Mungu katika njia ya Mungu. Kanuni hizi za maisha ya Nehemia zinatuonyesha jinsi ya kutumiwa na Mungu ‘kwa sababu ni mpango wa Mungu kutumia Nguvu za Mungu ndani ya watu wa Mungu kutimiza makusudi ya Mungu sawasawa na mpango wa Mungu.

Somo la Sauti:

Back to: Historia: Waamuzi – Esta

Toa Jibu