Vitabu vya historia vya Wafalme na Mambo ya Nyakati vinatuambia kuhusu matokeo ya Waisraeli kutotaka Mungu awe mfalme wao. Katika vitabu hivyo, tutapata maonyo yenye kuogopesha sana katika maisha ya wafalme waovu, na tutapata mifano mizuri katika maisha ya manabii wa Mungu kama vile Eliya na Elisha. Katika 1 Wafalme, tunajifunza kuhusu mgawanyiko wa ufalme huo wa kibinadamu. Katika 2 Wafalme, tunajifunza undani wa utumwa wao wa kutisha na neema na subira ya Mungu_x0092.
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.