Kitabu cha Ruthu ni fumbo kuu la ukombozi. Kukomboa maana yake ni ‘kununua tena’ na ‘kurudi. Boazi alimwachilia Ruthu; kwanza alimnunua tena alipolipa madeni yake yote, kisha akaanzisha uhusiano uliomrudisha katika familia ya Mungu. Jifunze jinsi kwa njia sawa ni lazima tuamue tunataka Yesu awe Mkombozi wetu – ili atukomboe na kuturudisha katika familia ya Mungu.
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.