Kila Mtu katika Nafasi yake

Ijapokuwa Gideoni alikuwa msiri na mwenye hofu, Mungu alionyesha kupitia Gideoni kwamba alikuwa radhi kuchukua watu wachache zaidi, dhaifu na wa kawaida zaidi kufanya miujiza ya ajabu, watu wa namna hiyo walipopatikana na kujitolea kufanya kile ambacho Mungu aliwaambia wafanye. Ni muhimu Mungu anapokuita umfanyie kazi ili uingie katika kazi hiyo ukijua kuwa Mungu amekutuma na Mungu yuko pamoja nawe.

Somo la Sauti:

Back to: Historia: Waamuzi – Esta

Toa Jibu