Kwa Nini Tunasoma Historia ya Kiebrania

Tunaweza kusema kwamba vitabu kumi na saba vya kwanza vya Agano la Kale ni vitabu vya kihistoria. Basi kwa nini ujifunze sana historia ya taifa hili dogo la Israeli? Sababu moja ni kutafuta mifano na maonyo. Waebrania walipotii Neno la Mungu, Mungu aliwabariki, nao ni mifano kwetu. Walipokosa kutii, waliishi chini ya laana ya Mungu, na maisha yao ni onyo kwako na kwangu.

Somo la Sauti:

Back to: Historia: Waamuzi – Esta

Toa Jibu