Klabu ya “Mimi-Kwanza”.

Yesu aliwafundisha wanafunzi wake kutazama ndani na kutambua kwamba baraka zake nane zingewafanya kuwa chumvi na nuru ambayo ulimwengu unahitaji. Pia aliwafundisha kutazama huku na huku, kutumia mitazamo hiyo yenye baraka katika mahusiano yao, na kisha kutazama juu na kupokea kutoka kwa Mungu nidhamu na maadili ya kiroho waliyohitaji ili kuendelea kuwa wanafunzi wenye matunda. Sehemu ya mwisho ya Mahubiri ya Mlimani ni changamoto: “Utafanya nini na yale unayojua?

Somo la Sauti:

Back to: Mahubiri ya Mlimani

Toa Jibu