Katika kitabu cha Hesabu tunajifunza kwa nini Waisraeli walichukua miaka 40 kufanya safari ya siku 11 na jinsi Waisraeli walifanya makosa kumi. Kipande hiki cha historia kinatuambia kitu kuhusu safari ya kiroho ya waumini wengi. Ikiwa unateseka kutokana na uzoefu wa “jangwani na bado hujaingia” katika Nchi ya Ahadi ya maisha tele yaliyoahidiwa katika Agano Jipya jiulize swali hili: Je, ninamtii Mungu kabisa?
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.