Watu wengi wanafikiri kwamba Yesu alikuwa anapinga Agano la Kale katika mistari hii, lakini alikuwa anashughulikia tu mafundisho ya viongozi wa kidini. Angewaambia hivi wanafunzi wake: “Mambo yote ninayofundisha yamo katika Neno la Mungu, lakini yale ninayofundisha ni kinyume kabisa na yale ambayo viongozi wenu wa kidini wamekuwa wakiwafundisha.
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.