Biblia ni nini?

Tunaanza safari kupitia Biblia Takatifu, somo la utaratibu lakini la vitendo kupitia vitabu vyote 66, kutoka Mwanzo – Ufunuo. Tutajifunza juu ya kupuliziwa kwa Neno la Mungu ambalo liliandikwa na wanaume wapatao 40, kutoka nyanja mbalimbali za maisha, kwa muda wa miaka 1,500 hivi. Kweli tunazopata zinaweza kutusahihisha, kutuongoza katika njia sahihi, na kututayarisha kwa ajili ya kila kazi njema tunapokuwa tayari kutii.

Back to: Mwanzo na Kutoka

Toa Jibu