Mungu Anaporudisha Utaji

Waraka wa Yuda ulionyesha wasiwasi juu ya uzushi au walimu wa uwongo ambao walisema waziwazi dhidi ya imani katika Yesu Kristo, kifo chake, na ufufuo wake. Yuda anatuambia kwamba walimu wa uwongo ni kama mawingu yanayoahidi mvua lakini hayatoi chochote. Kitabu cha Ufunuo ndicho kitabu kigumu zaidi katika Biblia kuandikwa katika lugha ya ishara. Mungu aliondoa pazia na kumpa Yohana ufunuo wa Yesu Kristo na wa wakati ujao ambao hauwezi kujulikana bila ufunuo huo.

Somo la Sauti:

Back to: Waebrania – Ufunuo

Toa Jibu