Hagai alihubiria kundi la kwanza la wahamishwa waliorudi Yerusalemu. Kwa sababu ya uadui huo, watu wa Yuda waliacha kujenga hekalu na kuanza kujenga nyumba zao wenyewe. “Zitafakarini njia zenu, Hagai alisema. Alitoa wito kwa watu wa Mungu ‘wakumbuke mambo yao ya kutanguliza, wapate tena maoni yenye usawaziko, wachochewe kuendelea, na waache woga. Maneno yake yanatukumbusha hitaji letu la kuendelea kulenga utume wa Mungu na mapenzi yake kwa maisha yetu.
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.