Tunapochunguza Vitabu vya Timotheo wa Kwanza, Timotheo wa Pili na Tito, tunaingia katika “Barua za Kichungaji.” Uhusiano wa Paulo na Timotheo umekuwa kielelezo kwa mamia ya maelfu ya wachungaji wakuu na wachungaji wadogo katika historia yote ya kanisa. 2 Timotheo 2:2, inakazia juu ya aina ya elimu ambayo haitabadilika kamwe: fundisha wanaume wanaowajibika ambao wanaweza pia kufundisha watu wengine. Paulo alisisitiza mtazamo ambao wanaume wanapaswa kuwa nao ambao wataliongoza kanisa.
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.