Isaya alitabiri kwamba Mungu alihitaji “njia ya kutembea katika mfumo huu wa mambo. Njia hiyo ya msingi ingekuwa Masihi, Mungu katika umbo la mwanadamu. Isaya alisema kwamba Kristo angekuwa udhihirisho kamili wa Roho wa Mungu. Yesu alipoeleza huduma yake, alinukuu unabii wa Isaya. Alikuja kuleta habari njema kwa walioteseka na kuponya waliovunjika moyo; kuwatangazia wafungwa uhuru wao, na kutangaza wakati wa neema ya Bwana.
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.