Upendo na Mtazamo wa Kibiblia juu ya Talaka

Umoja—wawili kuwa mwili mmoja—ndio msingi wa uhusiano wa ndoa, na upendo ni onyesho la umoja huo. Bila upendo wa agape, hatuwezi kamwe kuwa na aina ya ndoa ambayo Mungu alikusudia. Upendo wa aina hii haubadiliki, hauharibiki, hauna masharti, unatia moyo na hauzuiliki. Lazima tutambue aina hii ya upendo haiwezekani bila msaada wa Mungu. Mungu alikusudia ndoa zisitishwe na anachukia talaka. Neno la Mungu linatufundisha kuwa na mipaka ya ndoa inayolinda na kuhifadhi uhusiano huo.

Somo la Sauti:

Back to: Familia na Ndoa

Toa Jibu