Umoja—wawili kuwa mwili mmoja—ndio msingi wa uhusiano wa ndoa, na upendo ni onyesho la umoja huo. Bila upendo wa agape, hatuwezi kamwe kuwa na aina ya ndoa ambayo Mungu alikusudia. Upendo wa aina hii haubadiliki, hauharibiki, hauna masharti, unatia moyo na hauzuiliki. Lazima tutambue aina hii ya upendo haiwezekani bila msaada wa Mungu. Mungu alikusudia ndoa zisitishwe na anachukia talaka. Neno la Mungu linatufundisha kuwa na mipaka ya ndoa inayolinda na kuhifadhi uhusiano huo.
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.