Kukata tamaa ni tatizo kubwa katika ulimwengu wetu, lakini nia ya Mungu ni kwamba tumaini ambalo amepanda ndani yetu lituongoze kwenye imani na uhusiano wa kibinafsi naye. Mungu anatualika “tuonje na kuona kwamba Yeye ni mwema—kumfuata Yeye kwa uaminifu na kuamini Neno Lake. Wale wanaomtumaini Mungu watabarikiwa wanapokuwa na nguvu katika tumaini na imani wanapopitia uaminifu wa Mungu wa kuwaruzuku, kuwalinda, na kuwakomboa.
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.