Mojawapo ya mambo makuu ya Injili ya Mathayo ni “ufalme wa mbinguni. Yesu alikuja katika ulimwengu huu kama Mfalme wa ufalme wa milele wa kiroho, ulio wazi kwa yeyote anayemwamini na kumfanya kuwa Bwana wa maisha yao. Tunapoomba, tunaomba ufalme wake uje. Maisha yetu yote yanapaswa kulenga lengo hili: kuona utawala wa kiroho wa Mungu umewekwa katika maisha yetu na ulimwengu wetu kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.