Mwongozo wa Ndoa

Wakorintho wa Kwanza 7 inajulikana kama sura ya ndoa ya kibiblia. Inashughulikia maswali mengi kuhusu ndoa, useja, talaka, kuoa tena, na mahusiano ya kimwili ndani ya ndoa. Hapa tunagundua ‘mpango’ wa Mungu wa ndoa na hali nyingi za taabu. Waumini wawili wanapokuwa wameunganishwa katika ndoa, wanajitolea maisha yao kwa kila mmoja kwa sababu wanaamini kwamba Mungu amewaunganisha na wanapaswa kutegemea neema yake kuishi pamoja.

Somo la Sauti:

Back to: 1 na 2 Wakorintho

Toa Jibu