Pentekoste Binafsi ya Paulo

Kuongoka kwa Sauli ni onyesho la ajabu la nguvu za Roho Mtakatifu. Mungu alimchukua Sauli, mpinzani mkali wa Injili, na kumgeuza kuwa Mtume Paulo, mmishonari mkuu wa Injili. Kama tokeo la imani yake mpya, na kujitolea kwake kwa injili, Paulo alipoteza mafanikio yake yote ya kilimwengu na sifa yake ya kuwa Farisayo, “akiyahesabu mambo yote kuwa hasara kwa ajili ya thamani bora zaidi ya ujuzi wa Kristo Yesu.

Somo la Sauti:

Back to: Matendo ya Mitume na Warumi

Toa Jibu