Mungu alipoingilia historia ya mwanadamu na kuwa mwanadamu, aliwaalika watu fulani washiriki katika muujiza huo: Zekaria na mke wake Elisabeti, bikira aitwaye Mariamu, na wachungaji waliokuja kumwona Mfalme aliyezaliwa. Muujiza wa Krismasi ni Mungu kuwa mwanadamu ili aweze kuleta wokovu kwa wanadamu. Agano la Kale na Jipya linasimulia juu ya muujiza wa Ujio wa Pili wa Yesu Kristo: tumaini lenye baraka la Kanisa na tumaini pekee la ulimwengu.
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.