Sheria ya Mungu na Ndugu yako

Yesu alifundisha kwamba ni muhimu kwa waamini kusitawisha na kudumisha uhusiano wenye nguvu na wenye upendo kati yao. Viongozi wa kidini wa siku za Yesu walifundisha kwamba maadamu hukuua au kumjeruhi ndugu yako, uhusiano wako pamoja naye ulikubaliwa na Mungu. Lakini wale walio na tabia ya Yesu ya huruma wanapaswa kuionyesha; kutofanya hivyo kutaathiri vibaya ibada yetu ya faragha. Ni lazima tuhakikishe kwamba hatutenganishwi na mtu yeyote ambaye Yesu anamwita “ndugu yetu. Hasira na chuki dhidi ya ndugu na dada zetu lazima zishughulikiwe ikiwa tunataka kuwa na uhusiano unaompendeza Mungu.

Somo la Sauti:

Back to: Mahubiri ya Mlimani

Toa Jibu