Katika Mathayo 7 Yesu anawafundisha wanafunzi wake kutowahukumu wengine; kuuliza, kutafuta, na kubisha hodi kwenye milango ya wema wa Mungu_x0092; na kuwatendea watu wengine kulingana na jinsi wanavyotaka kutendewa. Yesu anamalizia Mahubiri ya Mlimani kwa kulinganisha aina mbili za wanafunzi: wenye hekima au wapumbavu. Watu wenye hekima hutii mafundisho yake na ni kama kujenga nyumba juu ya mwamba imara. Mtu asiyetii ni kama mpumbavu anayejenga nyumba yake juu ya mchanga.
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.