Sheria ya Mungu na Maisha ya Wanadamu

Watu wengi wanafikiri kwamba Yesu alikuwa anapinga Agano la Kale katika mistari hii, lakini alikuwa anashughulikia tu mafundisho ya viongozi wa kidini. Angewaambia hivi wanafunzi wake: “Mambo yote ninayofundisha yamo katika Neno la Mungu, lakini yale ninayofundisha ni kinyume kabisa na yale ambayo viongozi wenu wa kidini wamekuwa wakiwafundisha.

Somo la Sauti:

Back to: Mahubiri ya Mlimani

Toa Jibu