Hatuwezi kuishi maisha ya Kikristo ikiwa hatujui kuomba. Ndiyo maana Yesu alitupa mafundisho yake juu ya nidhamu ya kiroho ya maombi. Maombi ya Bwana_x0092, labda yanafafanuliwa kwa usahihi zaidi kama Sala ya Wanafunzi. Yesu anaahidi kwamba Mungu, Aliye Juu Zaidi, ataheshimu na kujibu sala zetu za unyoofu na za kibinafsi. Yesu alionyesha sala saba: tatu ambazo zinamweka Mungu kwanza katika kila eneo la maisha, na nne kwa mahitaji yetu ya kibinafsi.
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.