Tunaanza safari kupitia Biblia Takatifu, somo la utaratibu lakini la vitendo kupitia vitabu vyote 66, kutoka Mwanzo Ufunuo. Tutajifunza juu ya kupuliziwa kwa Neno la Mungu ambalo liliandikwa na wanaume wapatao 40, kutoka nyanja mbalimbali za maisha, kwa muda wa miaka 1,500 hivi. Kweli tunazopata zinaweza kutusahihisha, kutuongoza katika njia sahihi, na kututayarisha kwa ajili ya kila kazi njema tunapokuwa tayari kutii.
Toa Jibu
Ni lazima uingie ndani kutuma maoni.